Nimeota popo alikuwa anaruka sehemu ambayo nilikuwa naenda kujisaidia na akawa kero kwangu sikuweza ht kujisaidia nikamkamata akaning'ata mkono wa kulia na kunichuna ngozi ngozi kidogo nikamkamata nikamkata nikamkata vipande kwaa nikata vipande kwaai hasir nikata vipande kwani?